2 Samueli 17:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawaambia wampelekee Daudi habari upesi kwamba asilale usiku kwenye vivuko jangwani, bali, kwa njia yoyote ile, avuke na kuondoka ili asije akakamatwa na kuuawa, yeye pamoja na watu wake wote.

2 Samueli 17

2 Samueli 17:11-23