2 Samueli 17:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Iwapo atakimbilia mji fulani, basi, watu wote wa Israeli wataleta kamba na kuuburuta mji huo, hadi bondeni, kisibaki chochote hata jiwe dogo la mji huo.”

2 Samueli 17

2 Samueli 17:6-20