2 Samueli 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hizo, shauri lolote alilotoa Ahithofeli lilikuwa kama limetolewa na Mungu. Na shauri alilotoa Ahithofeli liliheshimiwa na Daudi na Absalomu.

2 Samueli 16

2 Samueli 16:16-23