2 Samueli 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Hushai akamjibu, “La! Maana yule ambaye amechaguliwa na Mwenyezi-Mungu, watu hawa na watu wote wa Israeli, huyo ndiye, mimi nitakuwa wake yeye, na nitabaki naye.

2 Samueli 16

2 Samueli 16:17-23