2 Samueli 15:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya miaka minne, Absalomu alimwambia mfalme, “Tafadhali uniruhusu niende huko Hebroni ili kutimiza nadhiri yangu ambayo nilimwekea Mwenyezi-Mungu;

2 Samueli 15

2 Samueli 15:1-17