2 Samueli 15:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena, Absalomu humwambia, “Laiti mimi ningekuwa mwamuzi wa Israeli! Kila mtu mwenye madai au shauri angekuja kwangu, nami ningempa haki yake!”

2 Samueli 15

2 Samueli 15:1-13