2 Samueli 15:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Tazama, watoto wao wawili wa kiume, Ahimaasi mwana wa Sadoki na Yonathani mwana wa Abiathari, wako pamoja nao. Na chochote mtakachosikia mtanipelekea habari kwa njia yao.”

2 Samueli 15

2 Samueli 15:33-37