2 Samueli 15:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama utarudi mjini Yerusalemu na kumwambia Absalomu, ‘Nitakuwa mtumishi wako, ee mfalme; kama vile nilivyokuwa mtumishi wa baba yako, hapo awali’; basi utanifanyia mpango wa Ahithofeli usifanikiwe.

2 Samueli 15

2 Samueli 15:29-35