2 Samueli 15:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alipofika kwenye kilele cha mlima, mahali pa kumwabudia Mungu, mtu mmoja jina lake Hushai kutoka Arki alikuja ili kumlaki, mavazi yake yakiwa yameraruka na kichwani pake kuna mavumbi.

2 Samueli 15

2 Samueli 15:24-37