2 Samueli 15:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Daudi aliendelea, akapanda Mlima wa Mizeituni huku analia, bila viatu na kichwa chake kimefunikwa. Hata watu wote waliokuwa pamoja naye walivifunika vichwa vyao wakawa wanapanda mlima huku wanalia.

2 Samueli 15

2 Samueli 15:23-34