2 Samueli 15:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Itai akamjibu mfalme, “Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo na wewe bwana wangu mfalme uishivyo, popote utakapokuwa, ikiwa ni kwa kufa au ni kwa kuishi, nami mtumishi wako nitakuwapo.”

2 Samueli 15

2 Samueli 15:18-22