2 Samueli 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilikuwa na watoto wa kiume wawili. Siku moja, walipokuwa mbugani, walianza kugombana. Kwa vile hapakuwa na mtu yeyote wa kuwaamua, mmoja akampiga mwenzake, akamuua.

2 Samueli 14

2 Samueli 14:5-11