2 Samueli 14:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo mwanamke kutoka Tekoa akaenda kwa mfalme, akaanguka kifudifudi, mbele ya mfalme, akasujudu, akamwambia, “Ee mfalme, nisaidie.”

2 Samueli 14

2 Samueli 14:1-10