2 Samueli 14:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo Yoabu akaenda na kumweleza mfalme maneno hayo yote, naye akamwita Absalomu, naye akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme. Na mfalme akambusu Absalomu.

2 Samueli 14

2 Samueli 14:29-33