2 Samueli 14:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mwanamke akamwambia, “Nakuomba, mimi mtumishi wako, uniruhusu niseme neno moja kwako mfalme.” Mfalme akamwambia, “Sema”.

2 Samueli 14

2 Samueli 14:10-20