2 Samueli 13:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yonadabu akamwambia Amnoni, “Wewe ni mtoto wa mfalme, kwa nini unakonda na unaonekana huna furaha kila siku? Mbona hutaki kuniambia.” Amnoni akamwambia, “Nampenda Tamari, dada ya ndugu yangu Absalomu.”

2 Samueli 13

2 Samueli 13:1-14