2 Samueli 13:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara tu yule mtumishi alipomaliza kusema, wana wa kiume wa mfalme wakaingia, wakaanza kulia kwa sauti. Mfalme na watumishi wake wote, wakalia kwa uchungu.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:32-39