2 Samueli 13:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Absalomu alikuwa amekwisha kimbia. Naye kijana aliyekuwa na zamu ya ulinzi, mara akaona kundi kubwa la watu wanakuja kutokea mlimani katika barabara ya kutoka Horonaimu.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:31-39