2 Samueli 13:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi aliinuka, akararua mavazi yake kwa huzuni akalala chini. Hata na watumishi wake wote waliokuwa wamesimama karibu naye walirarua mavazi yao.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:21-37