2 Samueli 13:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu, Absalomu akamwambia, “Kama huendi, basi, mruhusu ndugu yangu Amnoni twende naye.” Mfalme akamjibu, “Lakini kwa nini aende pamoja nanyi?”

2 Samueli 13

2 Samueli 13:17-32