2 Samueli 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Amnoni aliteseka sana hata akajifanya mgonjwa kwa sababu ya dada yake Tamari hasa kwa vile Tamari alikuwa bikira, na ilionekana jambo lisilowezekana kwa Amnoni kufanya chochote naye.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:1-7