2 Samueli 13:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Tamari akamwambia, “Sivyo, kaka yangu, usinilazimishe. Kitendo hiki hakifanyiki katika Israeli. Usifanye kitendo hiki cha kipumbavu.

2 Samueli 13

2 Samueli 13:6-21