2 Samueli 12:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa nini basi, umedharau neno langu mimi Mwenyezi-Mungu ukafanya uovu huu mbele yangu? Umemuua Uria Mhiti, kwa upanga, ukamchukua mke wake kuwa mkeo. Umewatumia Waamoni kumwua Uria vitani!

2 Samueli 12

2 Samueli 12:1-14