2 Samueli 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi aliposikia hayo, akawaka hasira dhidi ya yule tajiri. Akamwambia nabii Nathani, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai kwamba mtu aliyefanya jambo hilo anastahili kufa!

2 Samueli 12

2 Samueli 12:4-13