2 Samueli 12:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akamwambia Nathani, “Nimetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu.” Nathani akamwambia, “Mwenyezi-Mungu amekusamehe dhambi yako, nawe hutakufa.

2 Samueli 12

2 Samueli 12:7-17