2 Samueli 12:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Sikiliza, Mwenyezi-Mungu asema, ‘Tazama, nitazusha maafa katika jamaa yako mwenyewe. Nitawachukua wake zako ukiona kwa macho yako mwenyewe na kumpa jirani yako, naye atalala nao hadharani.

2 Samueli 12

2 Samueli 12:2-19