2 Samueli 12:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi Mwenyezi-Mungu akamtuma nabii Nathani kwa Daudi. Nathani alimwendea Daudi, akamwambia, “Kulikuwa na wanaume wawili katika mji mmoja; mmoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa maskini.

2 Samueli 12

2 Samueli 12:1-9