2 Samueli 11:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Daudi alimwambia Uria, “Rudi nyumbani kwako ukanawe miguu yako.” Uria alitoka nyumbani kwa mfalme, na mara mfalme akampelekea zawadi.

2 Samueli 11

2 Samueli 11:1-15