2 Samueli 11:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika barua hiyo Daudi aliandika hivi: “Mweke Uria kwenye mstari wa mbele, mahali ambako mapigano ni makali kabisa, kisha umwache huko na kurudi nyuma ili apigwe, afe.”

2 Samueli 11

2 Samueli 11:9-21