2 Samueli 11:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alimwalika Uria kula na kunywa huko kwake, akamfanya Uria alewe. Hata hivyo, usiku ule Uria hakwenda nyumbani kwake, ila alilala kwenye kochi lake pamoja na watumishi wa bwana wake.

2 Samueli 11

2 Samueli 11:10-23