2 Samueli 1:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule kijana akamjibu, “Kwa bahati, nilikuwapo mlimani Gilboa. Nilimwona Shauli ameegemea mkuki wake na magari ya wapandafarasi ya adui zake yalikuwa yanamsonga sana.

2 Samueli 1

2 Samueli 1:1-15