2 Samueli 1:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia, “Niambie mambo yalivyokuwa huko.” Yule mtu akamjibu, “Watu wetu wameyakimbia mapigano na wengi wetu wameuawa. Zaidi ya hayo, Shauli na mwanawe Yonathani pia wameuawa.”

2 Samueli 1

2 Samueli 1:3-10