2 Samueli 1:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Daudi akamwita mmoja wa vijana wake akamwambia, “Muue mtu huyu!” Yule kijana alimpiga yule Mmaleki, naye akafa.

2 Samueli 1

2 Samueli 1:7-18