2 Samueli 1:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakaomboleza, wakalia na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Shauli, Yonathani mwanawe, na nchi ya Waisraeli, watu wa Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa wengi wao waliuawa vitani.

2 Samueli 1

2 Samueli 1:7-22