2 Petro 3:12 Biblia Habari Njema (BHN)

mkiingojea siku ile ya Mungu na kuifanya ije upesi – siku ambayo mbingu zitateketezwa kwa moto na kuharibiwa, na vitu vyake vya asili vitayeyushwa kwa joto.

2 Petro 3

2 Petro 3:5-18