2 Mambo Ya Nyakati 9:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Hatimaye Solomoni alifariki dunia na kuzikwa katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu, mwanawe, akatawala mahali pake.

2 Mambo Ya Nyakati 9

2 Mambo Ya Nyakati 9:25-31