2 Mambo Ya Nyakati 9:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine ya Solomoni, kutoka mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha “Historia ya Nabii Nathani,” katika “Unabii wa Ahiya wa Shilo,” na katika “Maono ya Ido” mwonaji, ambayo yahusu pia Yeroboamu mwana wa Nebati.

2 Mambo Ya Nyakati 9

2 Mambo Ya Nyakati 9:28-31