2 Mambo Ya Nyakati 8:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kati ya watu wa Israeli, Solomoni hakumfanya mtu yeyote kuwa mtumwa kwa ajili ya kazi yake; wao walikuwa askari, makamanda wa maofisa wake, makamanda wa magari yake ya kukokotwa na wapandafarasi wake.

2 Mambo Ya Nyakati 8

2 Mambo Ya Nyakati 8:5-14