2 Mambo Ya Nyakati 8:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitoa tambiko hizo kadiri ilivyotakiwa na amri ya Mose kila siku takatifu, yaani siku za Sabato, sikukuu za mwezi mwandamo, na sikukuu tatu za kila mwaka – sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, sikukuu ya majuma na sikukuu ya vibanda.

2 Mambo Ya Nyakati 8

2 Mambo Ya Nyakati 8:10-14