2 Mambo Ya Nyakati 6:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ndipo Solomoni akasema,“Mwenyezi-Mungu alisema ya kwambaatakaa katika giza nene.

2. Hakika nimekujengea nyumba tukufu,mahali pa makao yako ya milele.”

3. Kisha Solomoni akaigeukia jumuiya yote ya watu wa Israeli wakiwa wamesimama, akawabariki.

2 Mambo Ya Nyakati 6