2 Mambo Ya Nyakati 5:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakukuwa na kitu ndani ya sanduku la agano, ila vile vibao viwili vya mawe ambavyo Mose aliviweka humo kule Horebu, mahali Mwenyezi-Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka Misri.

2 Mambo Ya Nyakati 5

2 Mambo Ya Nyakati 5:2-14