2 Mambo Ya Nyakati 36:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, akatawala kwa muda wa miaka kumi na mmoja huko Yerusalemu. Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake.

2 Mambo Ya Nyakati 36

2 Mambo Ya Nyakati 36:1-14