2 Mambo Ya Nyakati 36:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao, mara kwa mara alituma kwao wajumbe wake maana alikuwa na huruma kwa watu wake na makao yake.

2 Mambo Ya Nyakati 36

2 Mambo Ya Nyakati 36:14-23