2 Mambo Ya Nyakati 36:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Watu wa Yuda walimtwaa Yehoahazi, mwana wa Yosia, wakamtawaza awe mfalme mahali pa baba yake.

2. Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala; akatawala kwa muda wa miezi mitatu huko Yerusalemu.

2 Mambo Ya Nyakati 36