2 Mambo Ya Nyakati 35:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu walitenga sadaka za kuteketeza ili waweze kuzigawa kulingana na jamaa zao walio makuhani ili wamtolee Mwenyezi-Mungu kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Mose. Nayo mafahali waliwafanya vivyo hivyo.

2 Mambo Ya Nyakati 35

2 Mambo Ya Nyakati 35:10-20