2 Mambo Ya Nyakati 34:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Katibu Shafani akamwambia mfalme, “Kuhani Hilkia amenipa kitabu.” Naye Shafani akakisoma mbele ya mfalme.

2 Mambo Ya Nyakati 34

2 Mambo Ya Nyakati 34:14-24