2 Mambo Ya Nyakati 33:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Manase aliwapotosha watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu, wakatenda maovu zaidi kuliko mataifa ambayo Mwenyezi-Mungu aliyaangamiza mbele ya watu wa Israeli.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:5-17