2 Mambo Ya Nyakati 33:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile Manase baba yake alivyofanya. Pia alitoa sadaka na kutumikia sanamu ambazo Manase baba yake alichonga.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:14-25