2 Mambo Ya Nyakati 33:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kwa kuiga mienendo miovu ya mataifa ambayo Mwenyezi-Mungu aliyafukuza wakati watu wake wa Israeli walipokuwa wanaingia nchini.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:1-9