2 Mambo Ya Nyakati 33:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine ya Manase, sala yake kwa Mungu wake na maneno ya waonaji waliozungumza naye kwa jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, hayo, yote yameandikwa katika Mambo ya Nyakati za Wafalme wa Israeli.

2 Mambo Ya Nyakati 33

2 Mambo Ya Nyakati 33:14-25